Uzi wa mafumbo (riddles)

Uzi wa mafumbo (riddles)

Nitawaambia sisi sio watu bali ni Vibwengo kama nyie.
Hiyo statement ni uongo...kwahiyo watamuachia mdogo wako utaondoka naye...lakini kaka ako ataliwa
 
Uko good citizen b embu tuone hapa



I never was, am always to be ,
No one ever saw me ,nor ever will,
And yet I am the confidence of all to live and breathe in this terrestrial planet

What i'am ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko good citizen b embu tuone hapa



I never was, am always to be ,
No one ever saw me ,nor ever will,
And yet I am the confidence of all to live and breathe in this terrestrial planet

What i'am ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeishindwa hii?
Umepotea katikati ya misitu ya Kongo,upo wewe,mdogo wako na kaka ako,,,ghafla mnatekwa na Kabila la watu wanaokula watu...
Kabla hamjaliwa unapewa chance wewe kama msomi kuliko wote ya kumuokoa kaka ako au mdogo wako
Kiongozi wa Kabila:"Ukiongea kitu cha ukweli tunamuachia kaka ako unaondoka naye Lakini ukiongea kitu cha uongo tunamuachia mdogo wako uondoke naye"

Utasema nini ili waachiwe wote??
 
Lipo walimuuliza yule god of wisdom hiyo riddle ikawa kama key ili wapite sehem
Hvi kwenye gods of Egypt hili riddle lipo kumbe bora ningejua nisingelitoa

Embu tupe jibu LA lakwako kwanza. Lile LA nyasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hili apa kuna watu washapata
Kama siku6 zinajaza shamba then Ndani ya siku tano zitakuwa zimeota half ya shamba ili zikimultiply mara mbili zinalijaza shamba siku ya 6....sasa zikiwa pact mbili it means ndani ya siku tano zote zitakuwa zimejaa half ya shamba ndani ya siku tano...so zitalijaza ndani ya siku tano
 
Back
Top Bottom