asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana hela mkuuHuu uzi watu wanauogopa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 ElfuNawakilisha maelfuonea zamu yetu ikifika unitag....
Bradha vipi uzi wako nini?😀😀😀😀
Milioni moja kwa sekunde au dakika..Hapa ni kwa madon tu ukiona kipato chako ni chini ya milioni moja fanya kupita hivi Nenda kule kwa Makapuku Forum
CC Zero IQ
Kama tumekutana humu basi ujue tushakua.Wasiokua waliambiwa wapite mbali 😀😀Bradha vipi uzi wako nini?
🤣🤣🤣 Ndio kukua huku!Kama tumekutana humu basi ujue tushakua.Wasiokua waliambiwa wapite mbali 😀😀
Fraga wewe ni mjanja sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ndio kukua huku!
Karibi sana kwenye Uzi wa madon mkuuNimefarijika sana kuuona huu Uzi kule makapuku sijwahi kuingia na siwezi kuingia mimi nisije nikapata laaana bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeeeeeTumejichang na wife apa tunafik iyo m+ mm nimuwakilishi[emoji23][emoji23][emoji23]nakaa upande upi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa na milioni per month ila matatizo yako ni zaidi ya anayepata 250k
Sent using Jamii Forums mobile app