Uzi wa mamilionea

Uzi wa mamilionea

Write your reply...tatizo tukija hapa tutahatarisha usalama wetu ni bora tunyamaze tu daah pesa ni zetu ila zinatutesa
 
Zipo dreams ukiitaka hutamani kamwe uamke, utatamani uendelee kuota tu forever and ever, kama kitu frani hivi mind illusion like concrete jungle hutamani utoke uko wishing to roam here and there within the jungle.
 
Hapa ni kwa madon tu ukiona kipato chako ni chini ya milioni moja fanya kupita hivi Nenda kule kwa Makapuku Forum



CC Zero IQ
hahaha sawa chief...acha niwe msomaji labda na mimi nitakuwa millionaire siku moja.
 
Mimi naomba kuuliza ili niweze omba ulinzi wa jeshi la polisi natakiwa niwe na kianzio shilling ngap
 
Back
Top Bottom