Uzi wa mamilionea

Kila mtanzania kwa sasa anadaiwa.

Nchi kwa sasa inadaiwa trilioni 60+, wakat income yetu kwa mwaka haifiki trilion 30.

Kwa io hata uwe na milioni kadhaa jua sio zako.
 
Kila mtanzania kwa sasa anadaiwa.

Nchi kwa sasa inadaiwa trilioni 60+, wakat income yetu kwa mwaka haifiki trilion 30.

Kwa io hata uwe na milioni kadhaa jua sio zako.
Zangu kwa kuwa mi ndio nazimiliki na kuzifanyia matumizi

CC Zero IQ
 
mamilionea wenzangu nilikuwa busy nimechelewa kusoma uzi huu.....ngoja niendelee na majukumu nitarudi kwenye uzi huu mwezi ujao. mamilionea tuko busy sana ila makapuku mbona wote wapo free

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mamilionea wenzangu nilikuwa busy nimechelewa kusoma uzi huu.....ngoja niendelee na majukumu nitarudi kwenye uzi huu mwezi ujao. mamilionea tuko busy sana ila makapuku mbona wote wapo free

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubusy hata Jpili
Mamilionea huku hatutaki stress siku za jpili huwa tumejifungia nyumbani tukihesabu mabilioni tulioyapata wiki hii
We itakua sio mwenzetu itakua bado unatatafuta inawezekana mpaka mwezi ujao itakua umeyapata utatukutatu wenzio twishakua ma tirionea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…