The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 216
1. Je, TFF ina fikiria kwa namna yoyote ile ligi kuu ya vodacom kuwa na timu zaidi ya zilizopo sasa?
2. Kwa sasa viwanja vya michezo hasa vinavyotumika kwa soka na hasa kwa vijana wadogo mitaani vinabadilishwa matumizi kila kukicha na hivyo kuwakatisha vijana tamaa. Je. TFF wana mbinu gani katika kuhakikisha kuwa viwanja hivi vinaendelea kuwapa hamasa vijana.
3. Katika miaka ya hivi karibuni yamejitokeza matatizo ya mechi kubwa kuwa na waamuzi ambao hushindwa kuzimudu. Hata ikitokea maamuzi kutakiwa kuchukuliwa nje ya uwanja huwa yanajitokeza matatizo na malumbano makubwa. Ili kupunguza ama kuondoa tatizo hili, TFF imejipangaje?
The Listener
Ex Detective
2. Kwa sasa viwanja vya michezo hasa vinavyotumika kwa soka na hasa kwa vijana wadogo mitaani vinabadilishwa matumizi kila kukicha na hivyo kuwakatisha vijana tamaa. Je. TFF wana mbinu gani katika kuhakikisha kuwa viwanja hivi vinaendelea kuwapa hamasa vijana.
3. Katika miaka ya hivi karibuni yamejitokeza matatizo ya mechi kubwa kuwa na waamuzi ambao hushindwa kuzimudu. Hata ikitokea maamuzi kutakiwa kuchukuliwa nje ya uwanja huwa yanajitokeza matatizo na malumbano makubwa. Ili kupunguza ama kuondoa tatizo hili, TFF imejipangaje?
The Listener
Ex Detective