Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

utali,
My pleasure πŸ™πŸ», twende pamoja mkuu, karibu sana.
 
True say chief.
 
Mtoa mada ukija mafia nione nikupeleke sehem ya maajabu chole na bweni
 
Natarajia kufanya road trip to Magoroto mwezi wa tatu huu kutokea DSM naomba heads up kuanzia barabarani mpaka huko magoroto.

Shukran


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Natarajia kufanya road trip to Magoroto mwezi wa tatu huu kutokea DSM naomba heads up kuanzia barabarani mpaka huko magoroto.

Shukran


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nitarudi na mrejesho wakati wadau wengine wanaanza kukupa ABC'S mkuu, karibu.
 
Mla Bata,
Daah kulipia service inayo range from Tsh.400,000-800,000 per night na ukaenda kwa daladala sehemu husika unakua hujapatendea haki hapo mahala, hahah.

Pivha nzuri kinyamaa,bongo pazuri walahi
 
Thread nzuri Sana,unapokuwa safarini kwenda kuona vivutio vilivyo kaskazini (Tanga, Kilimanjaro Manyara na Arusha) Pita drive inn maeneo ya msata kwa Breakfast ,lunch na dinner pamoja na malazi Kama unahitaji kupumzika.jamani tumebarikiwa na vivutio ving tuamke tuvitembelee
 
Daah kulipia service inayo range from Tsh.400,000-800,000 per night na ukaenda kwa daladala sehemu husika unakua hujapatendea haki hapo mahala,hahah.

Pivha nzuri kinyamaa,bongo pazuri walahi
Surely mzee.
 
Hapo ni Bundesliga Mwanza
 

Attachments

  • IMG_20200306_230121_892.jpg
    247.2 KB · Views: 24
  • IMG_20200306_224719_836.jpg
    132 KB · Views: 24
  • IMG_20200306_224723_232.jpg
    116.4 KB · Views: 24
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…