Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania


Nimeikumbuka sanje water falls
 

Sasa pita ile barabara ya kutoka Iringa to Dodoma, aisee hii nchi Tanzania ni nzuri jamani. Kuna landscape murua sana na mandhari ya kuvutia ajabu.
Natamani tupate “think tanks” wazuri kwenye mambo ya utalii watufanyie mipango ili tuigeuze nchi yetu kuwa ya kitalii. Tourist destination
Naitazamaga zile safu za milima Ruaha pale na kuwaza kama tukiweza funga zile cables za kuteleza, si tutapiga hela sana..
Nchi nzuri hii kweli kwelii
 
Well said, tatizo siasa chafu tumeziweka mbele sana saan
 
Last month hio ni Maeneo ya Njombe to Makete. Hapo nikawa napata lunch!!!
 

Attachments

  • IMG_20200415_100239_066.jpg
    163.9 KB · Views: 30
  • IMG_20200416_135159_576.jpg
    174.9 KB · Views: 30
  • IMG_20200416_135231_567.jpg
    290.4 KB · Views: 30
  • IMG_20200415_101046_904.jpg
    134.3 KB · Views: 29
  • IMG_20200415_101034_164.jpg
    128.4 KB · Views: 29
Wadau wa utalii, wadau tunaopenda kusafiri kutalii vivutio vyetu vya ndani, karibuni tushirikishane sehemu mbalimbali nchini zenye vivutio vya kipekee.

Mahususi tujumuike pamoja ili tushirikishane vivutio hivyo kwa ajili ya kwenda kutalii. Tanzania yetu utalii wa ndani.

Karibuni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thamani kama hizi ina pendeza mtu akiwa nazo pia home, weekend una chill na madogo janja niniii kuwa soma mawazo yao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…