Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Welcome to lushoto.....
They call it Norway of Africa
Kuna vivutio vingi sana kuanzia safu za milima ya usambara and a lot more

MULLERS mountain Lodge
Swiss Farm
Kigula hakwewa view
.
.
.

.
Soon narudi for more photos

[emoji991] Photos captured my me.[emoji18]
 
Weka na bei. Hapo Swiss kila mtu anapaoongelea.

RRONDO nadhani ameenda LUSHOTO ebu kwa 2 nights mtu akiwa na 300k atafaidi nini na nini? ie anafika Ijumaa analala (1st night), jumamos anashinda, analala kuamkia j2 (2nd night,) mida ya mchana anasepa..
 
Nakazia northbright ebu tupe taarifa za muhimu kuhusu mahali hapo mkuu.
 
Mlima Meru, unavyoonekana maeneo tofauti tofauti katika majira tofauti ndani ya mkoa wa Arusha.

 
Hivi hii njia ya dar Lind Mtwara, kuna maeneo gan mazuri ya kutalii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…