Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

Maelezo safi kabisa mkuu, kongole kwako.
 
Mliowahi tembelea huko tujuzeni na gharama zake zipoje

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa tanga inategemeana na wewe unataka nini ila ukiwa na laki mbili itatosha kufurahi kwa siku zisizo pungua mbili, ni mji mzuri

Magoroto mara nyingi naona watu wanaanda trip mbali mbali ..so itadepend na waandaji sijawai enda mwenyewe private


Mfano hao waliandaa last year kwa shilling laki tatu na kitu ..sio gharama nj mikakati tu
 
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…