Well, asante Paula PaulI am very thankful for your write up Mla bata.
Je ni season gani ni nzuri kwa ajili ya kutembelea huko?
Asante kwa thread nzuri. Ni mara chache siku hizi watu wanaanzisha thread za maana kama hizi. Mambo ya utalii sisi waafrika hasa watanzania tupo nyuma sana.Karibu sanaa Paula Paul ni imani yangu utayapata yote hayo kutoka humu.
Udzungwa ipo wapi?.
Na vivutio gani vinapatikana huko?
Asante sana mkuu, umezungumza ukweli mtupu kuhusu ustaarabu wa kutalii kwa sisi waafrika, nadhani ni utaratibu ambao wengi hatuna, labda kupitia nyuzi kama hizi tunaweza kupata wadau watakaopata muamko.Asante kwa thread nzuri. Ni mara chache siku hizi watu wanaanzisha thread za maana kama hizi. Mambo ya utalii sisi waafrika hasa watanzania tupo nyuma sana. Sidhani kama mara zote fedha ni kikwazo kwani nimeshaona watu wengi wenye uwezo lakini hawatalii. Mimi napenda sana kutalii na kusema ukweli ndoto yangu ni kuitembelea Tanzania yote.
Mkuu sasa quotation in united states dollars maana yake nini? Huu ndio tunaita uswahili.Kwa Uluguru mountain kutokea Morogoro town. Hizi ni gharama zetu.
Karibuni.View attachment 1359303
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi vyote utavipata/kuviona ukiwa Udzungwa.Udzungwa ipo wapi?.
Na vivutio gani vinapatikana huko?
Hiyo ni document iliyoandaliwa kwaajili ya matumizi ya ofisi ambayo wageni ni both waswahili na foreigner.Mkuu sasa quotation in united states dollars maana yake nini? Huu ndio tunaita uswahili.
Magoroto wana Room/Cottages mkuu ambazo ukiinclude na activities zote kwa siku mbili/usiku mmoja ni shilingi za kitanzania 175,000 (175k)Mla Bata Magoroto kuna hotels?,bei zake zikoje?
Asante kwa maelezo mkuu,pa kutembelea hapaMagoroto wana Room/Cottages mkuu ambazo ukiinclude na activities zote kwa siku mbili/usiku mmoja ni shilingi za kitanzania 175,000 (175k)
Karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aurora Hizi ni gharama zao hapo udzungwaAsante kwa taarifa Mla Bata
Gharama ya kuingia hapo ni bei gani ?
Nmeona ni karibu na hapa nilipo ni masaa mawili na nusu tu unafika .
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maelezo mkuu,pa kutembelea hapa
Sio kwamba sijui thamani ya dollar moja kwa shilingi, swali langu why quote in usd?Hiyo ni document iliyoandaliwa kwaajili ya matumizi ya ofisi ambayo wageni ni both waswahili na foreigner.
Nisamehe mimi kwa uswahili wangu mkuu ila dollar moja ni approximately elfu 2280-2300 za kitanzania.
Asante na karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeharibu uzi mzuri kwa kuposti picha ya huu mzoga.
Kwa niaba ya mjumbe hapo juu.
Sio kwamba sijui thamani ya dollar moja kwa shilingi, swali langu why quote in usd?
Mlipaswa in the first place kua na price schedule 2, for locals and foreigners. Locals in tzs na foreigners in usd. Hata tanapa wana hiyo kitu.
Aurora Hizi ni gharama zao hapo udzungwa
Karibu.View attachment 1359727
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow, thank you Mla bata. I am always looking for nice hiking recommendations.Well, asante Paula Paul
Utalii wa magoroto hautegemei sana hali ya hewa au vipindi tofauti tofauti vya majira ya mwaka, kwahiyo naweza kusema unaweza kwenda magoroto anytime.
N:B Changamoto kubwa inaweza kuwa ni barabara kipindi cha mvua kutegemea na aina ya usafiri unaoutumia i.e gari ndogo kama ist na mfanano wake zinaweza kuwa changamoto, ingawa baadhi yetu tunapenda kipindi hiki cha mvua kwaajili ya kwenda kufanya hiking na kufeel nature & adventures.
Karibu.