Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

The overhang.
Screenshot_20200216-184904.jpeg
Screenshot_20200216-194257.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingependeza zaidi kama ingekua ni picha za kupigwa na sie wenyewe wana JF sio hizo edited na professionals.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukifuatilia mwanzoni mwa huu uzi niliandika share mahali umewahi fika ama unatamani fika, hiyo kauli ya mwisho ndio inahusisha hizo picha edited au downloaded just for information tu sidhani kama inaondoa maana ya uzi, by the way ni ushauri mzuri pia inaonesha ile genuinely .
 
Yaani wakati wengine tunajiuliza sijui tukagongee Banana wengine wanagongea sehemu nzuri hivi na kuzidi!
😂😂😂 kuzidiana kupo mkuu, na malengo pia

Si kila tunaoenda/wanaoenda huko wana hela kiiivyo ila ni vile unaplan tu kwamba at the end of this year lazima niende this placd so kila unachoingiza mfukoni unakumbuka kusave.
 
January nilikuwa tanga muheza na tanga mjini nilifurahi kujionea mazingira mapya katika macho yangu.

Feb nimeplan kuwa bagamoyo sijui hapa ni mahali gani sitakiwi acha kufika kujionea vitu.

kusafiri /kutembelea maeneo ni rahisi ukijiwekea mipango
Fika saadan mkuu uone simba beach
 
Back
Top Bottom