Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
- Thread starter
- #361
Mkuu Elli shukrani sanaa kwa michango na picha nzuri. [emoji1307][emoji1307]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hamna hata picha mbili tatu kusindikizia maelezo yako [emoji23]Pia huku Arusha kule USA RIVER kuna kituo kinaitwa Leganga shuka hapo kisha panda na hiyo njia kuna kijiji kinaitwa (JUA-KALI) Utauliza HOTELI YA KITALII INAITWA NGARASERO MOUNTAIN LODGE kuna mawneo mazuri ikiwepo kimlima kizuri chini yake kibwawa cha asili pia kuna aina mbalimbali za ndege na wanyama haswa MBEGA. Kweli uta- enjoy sana.
Ipo siku utaliwa na simba au fisi porini. Mnapataje usingizi mkuu?
Iko hivyo hivyo labda pengine imezidi kuharibikaMpaka kati ya Tabora na katavi
Hio barabara siku hizi ipoje hakuna lami bado?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyama wanaogopa moto sanaIpo siku utaliwa na simba au fisi porini
Mnapataje usingizi mkuu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja mdau