Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwahi kujua hiiWanyama wanaogopa moto sana
Yes wanaogopa moto sana
Zamani kidogo ilibaki kidogo nizame hapo.Haya maji haya!!Kikuletwa is overrated. Ni pazuri sana lakini wizara y utalii imeshindwa kupaboresha hapo? Je hakuna mwekezaji anaweza kukabidhiwa hiyo sehemu? Barabara ya kutoka boma ng'ombe ufike hapo hot spring ni rough road.
Ukifika pale hamna sehemu ya chakula wala vinywaji inayoeleweka. Hata viti vya kukalia hamna... it's pathetic kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikuletwa is overrated. Ni pazuri sana lakini wizara y utalii imeshindwa kupaboresha hapo? Je hakuna mwekezaji anaweza kukabidhiwa hiyo sehemu? Barabara ya kutoka boma ng'ombe ufike hapo hot spring ni rough road.
Ukifika pale hamna sehemu ya chakula wala vinywaji inayoeleweka. Hata viti vya kukalia hamna... it's pathetic kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Dodoma kuna vivutio gani? Nataka niende huko.
Mmmh huku sijapata info zake, ngoja wajuvi zaidi waje.
Naomba namba ya simu ya hii hotel, nataka kwenda this easterI spent a night kwenye ile hotel ya Mwamunyange.....can't forget that night
Asante sana mkuu, umezungumza ukweli mtupu kuhusu ustaarabu wa kutalii kwa sisi waafrika, nadhani ni utaratibu ambao wengi hatuna, labda kupitia nyuzi kama hizi tunaweza kupata wadau watakaopata muamko.
😋😋