Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
DuuuuuDaaah
Hahaha hahahaDuuuuu
Njema kabisa nakusaka sanaHahaha hahaha
Habari yako mkuu
Niko hapa mimi..Njema kabisa nakusaka sana
Ngoja nitakutafuta kule kwetu muda si mrefuNiko hapa mimi..
Nipe khabari
Samahani kiongozi sikujua unatumia mitambo ya TECNO. Niwie radhi mtanzania mwenzanguMzee kwani lazima uzidownload picha zetu? Android ni android tu hata utumie s10
Sent using Unknown device
Sawa mkuuNgoja nitakutafuta kule kwetu muda si mrefu
IPhone yako naona kama chaji inataka kuishaDaaah
Samahani kiongozi sikujua unatumia mitambo ya TECNO. Niwie radhi mtanzania mwenzangu
Screenshot haina simu
Kuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?
1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes
Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
Mimi zanguKuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?
1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes
Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
Mimi zangu
1. Uzi wa vyakula
2. Jf usiku wa manane
3. Vituko mtandaoni
4. Kupeana likes
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wafute zote hizo ila sio wa kubetKuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?
1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes
Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
Mkuu naona ukaamua kuni sikilini shoti [emoji23][emoji23]JF raha bhana.Kuna kipindi unakutana na majibu ya kiduanzi,nyodo,makuzi,ucheshi n.k ambayo hutokutana nayo sehemu yeyote ile.Kama ulikua umenuna inabidi ufumue kicheko tuuu.Ukiyaona hebu "tuskinishotie" na sisi tuyasome.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naanza na haya [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1034896View attachment 1034898View attachment 1034899