Uzi wa screenshot kutoka JamiiForum

Uzi wa screenshot kutoka JamiiForum

Kuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?

1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes

Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
 
Kabla ya hizo kuwepo ilikuwaje?
Kuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?

1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes

Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Screenshot_20190301-142924.jpeg
 
Kuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?

1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes

Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
Mimi zangu
1. Uzi wa vyakula
2. Jf usiku wa manane
3. Vituko mtandaoni
4. Kupeana likes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna thread 3 huwa najiuliza ikitokea mods wakazifuta hasira za wadau itakuwaje?

1. Wazee wa kubet
2. Makapuku forum
3. Kupeana likes

Hizi ni threads ziko active muda wowote na wadau wake kila ukiingia ni kama wametengeneza familia fulani ya wao wao, nawaza mods siku waziondoe itakuwaje?
Bora wafute zote hizo ila sio wa kubet
 
Back
Top Bottom