Ocean Quahog ndiye mnyama aliyethibitishwa kisayansi kuwa aliishi kwa muda mrefu zaidi duniani. Alizaliwa mwaka 1499 na kufa mwaka 2006 akiwa na umri wa miaka 507.
Inaaminika kuwa aliuawa na wanasayansi waliovunja gamba lake bila kujua kuwa bado yupo hai wakati wanataka kumchunguza.
#Tafiti