Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
safi mkuu. tumeshakupata no sita yaani mkata umeme wa jf fc..Enzi za uhai wangu kisoka nimepiga sana namba sita...saa hivi dah...maisha has driven me back and forth lakini naanza tizi tena very soon
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
πππkipa no 1 wa jf fc asprin.Mimi ni bonge la golikipa. Kwenye kudaka Ronaldo na Messi watasubiri sana
Team zangu
Bunju Veterans K Vant drinking club, Simba, Liverpool, Barcelona
Sawa mkuu shika no 7 yako
ππutacheza tuu mkuu chukua nane sita imeshachukuliwa
Sawa mkuu shika no 7 yako
Sasa mniwekee mabeki imara kama Lukaku na Mo Salah ili nikiingia mchezoni nimeutwika wanibebe tusifungwe kizembe kama Man Uπππkipa no 1 wa jf fc asprin.
Babu unamuongelea Messi huyu huyu??.
Tumeshakupata kipa babu..
Sawa mkuu usituangushe
Usihofu Messi tutampiga kipepsi cha pua..Sasa mniwekee mabeki imara kama Lukaku na Mo Salah ili nikiingia mchezoni nimeutwika wanibebe tusifungwe kizembe kama Man U
Sawa mkuu no yako ngapi hatujapata no kumi badoMimi bila jezi #10 mgongoni hujanipa hadhi yangu,kwa hyo wakati watu wakimwagika na michango yao hyo jezi ihifadhiwe kwanza
Chukua 9 mkuu hizo zingine zimechukuliwa
#10 aseeSawa mkuu no yako ngapi hatujapata no kumi bado