Uzi wa team yetu ya mpira JF FC weka namba yako unayocheza,uwezo picha kama zipo

Uzi wa team yetu ya mpira JF FC weka namba yako unayocheza,uwezo picha kama zipo

Namba..
4-iko wazi
5-iko wazi
2-iko wazi
11-iko wazi

Mbili niachie mkuu
Sifa zangu nitatuma link ya youtube mkacheki baadhi ya vitu vyangu uwanjani
Ila kiufupi nasifika kama beki roho mbaya beki sijawah panda naishia mstari wa kati tu
Mipira hua inapita ila mtu hajawah pita
Sijawah cheza mechi sijapewa kadi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbili niachie mkuu
Sifa zangu nitatuma link ya youtube mkacheki baadhi ya vitu vyangu uwanjani
Ila kiufupi nasifika kama beki roho mbaya beki sijawah panda naishia mstari wa kati tu
Mipira hua inapita ila mtu hajawah pita
Sijawah cheza mechi sijapewa kadi


Sent using Jamii Forums mobile app
Safi mkuu
Shika ya kulia fanya unyama yaani
Me nipo ya kushoto mkuu
 
Nafasi zilizo wazi.
1-mweka hazina wa team (hapa watakuja wengi) 😂

2- msemaji wa team

3-huduma za matibabu (msalaba mwekundu)

4- kitengo cha figisufigisu

5-kocha (au tumlete zidane) 😂😂

6-Mashabiki wa nguvu

7-mpishi wa Team (sio lazima) 😂

Pia bado hatuna beki 5 na 4
Bila kumsahau karumalinzila wetu
 
Back
Top Bottom