Uzi wa team yetu ya mpira JF FC weka namba yako unayocheza,uwezo picha kama zipo

Uzi wa team yetu ya mpira JF FC weka namba yako unayocheza,uwezo picha kama zipo

Mi ni no 8 moja matatizo napiga pasi za mwisho napiga mashooti nje ya box nahold possesion napandisha timu etc

A complete attacking midfield
 
Kiungo mmoja namba 8 kisheti mwenye udambu dambu wa kutosha...

Enzi zangu Dumila huko nishawahi pewa mke na watoto wawili kwenye Kombe la mbuzi baada ya kufunga goli katikati ya uwanja...Maisha yanakwenda kasi sana.
 
Katika nyuzi zimenitoa machozi ni hii kwani imenikumbusha tuu mbaaaali.

Kiufupi mpaka natoka kwenye michezo hii nimesakata mpaka ligi kuu

Aliyeanzisha vifungo na magereza mwache tuuu


Nirudi kwa maada mi 9 enzi hizo lakini
 
Kiungo mmoja namba 8 kisheti mwenye udambu dambu wa kutosha...

Enzi zangu Dumila huko nishawahi pewa mke na watoto wawili kwenye Kombe la mbuzi baada ya kufunga goli katikati ya uwanja...Maisha yanakwenda kasi sana.
No 8 mko kama 9 hivi mkali ndo ataanza
 
10 au 11, ni mbaya hatari, msasani magunia, kawe packers wanajua shughuli yangu , nacheza huku nafundisha

MTC | 101| [emoji769]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha tambo za draft mtu utamsikia Mimi nilijua draft mpaka nimekataa mke magomeni
 
Hahahaha, mm mpira najua Mkuu sijisifu ,wale wa ktk draft ni kiboko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha tambo za draft mtu utamsikia Mimi nilijua draft mpaka nimekataa mke magomeni
 
Mimi namba 5 beki hasifiwi ninakaba mpaka fowadi anatema mate makavu na piga tacle za ajabu
 
Back
Top Bottom