Uzi wa team yetu ya mpira JF FC weka namba yako unayocheza,uwezo picha kama zipo

Uzi wa team yetu ya mpira JF FC weka namba yako unayocheza,uwezo picha kama zipo

-ninatumia miguu yote
nina uwezo wa kucheza nafasi ya golikipa
-beki wa kati
-left and right winger
-striker9

Sent using Jamii Forums mobile app
chukua beki ya kati mkuu hizo zingine tiyari ila kama unaweza kutaka sawa tuu.. maana huyu babu asprin asije akaingia golini kalewa 😂😂
 
Estaban Cambiasso ndio nilivokuwa naitwa miguu kama ndoo za litre 10 namaliza 6 kabisa hapo .
 
No 6 kiungo mkabaji now nimeacha timu yangu ya kitaa kwa kindande temeke mwisho na mtongani fc nimenusurika mapanga uwanja wa sifa mara kazaa kwenye mashindano ya ndondo
 
Mimi ni bonge la golikipa. Kwenye kudaka Ronaldo na Messi watasubiri sana

Team zangu
Bunju Veterans K Vant drinking club, Simba, Liverpool, Barcelona
Mkuu hapa kwenye Liverpool na barca utajigawa gawa vipi
Screenshot_20190418-114719.jpeg
 
Kocha mzoefu nipo hapa,formation yangu ya 4-4-2 lazima mpinzani akae,wachezaji mjitokeze mapema tu ili nianze kupanga kikosi changu imara.
 
Back
Top Bottom