Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #61
Makocha tumewapata mko wawiliKocha nipo hapa
Uwanjani anzia golini mpaka kumi na mbili namba ya mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makocha tumewapata mko wawiliKocha nipo hapa
Uwanjani anzia golini mpaka kumi na mbili namba ya mwisho
11 tumewapata mko watatu mkali ndo ataanzaMniachie 11 yangu. krosi za kugongesha mwamba mimi ndo mwalimu. Ila sina timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh we so utadaka watu badala ya mpira? HahahaNamba 1
Safi no 8 mpo wawiliIniesta Nipo hapa dimba la juu kabisa
sita mpo watatu mkuuEstaban Cambiasso ndio nilivokuwa naitwa miguu kama ndoo za litre 10 namaliza 6 kabisa hapo .
Makipa mko watatu mkuuGoalkeeper.
Pia ndani nacheza 11.
Na mganga wa timu-ninatumia miguu yote
nina uwezo wa kucheza nafasi ya golikipa
-beki wa kati
-left and right winger
-striker9
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepata mkuu mko 3sasaNaomba ukocha mana nina zoefu wa kutosha
Sawa mkuu makipa mko watatuWakati wa kipaji changu cha mpira nilikuwa mlinda mlango matata kuanzia shule ya msingi-O level-A level-chuo.
Chuo nilikuwa namba mbili ila kwa class yetu nilikuwa namba moja.
Baada ya hapo sikuwahi jihusisha tena na mpira na nilikuja kuvunjika mkono kwa ajali ndo ndoto ikafia hapo.
Lazima nianze hapo sijawahi toka uwanjani na jezi safi ,nacheza sita ya kizamani jezi chafu kama nimetoka kwenye matope,ng'e ndio nyumbani kwake mara ya mwisho km nilizokimbia uwanjani ni kama kutoka Dar to Moro.sita mpo watatu mkuu
Kama mkali kweli utaanza mkuuLazima nianze hapo sijawahi toka uwanjani na jezi safi ,nacheza sita ya kizamani jezi chafu kama nimetoka kwenye matope,ng'e ndio nyumbani kwake mara ya mwisho km nilizokimbia uwanjani ni kama kutoka Dar to Moro.
Hamna shida kocha ataangalia gemu inamuhitaji nani kulingana na timu pinzani. Kwa mfano mimi nilikuwa vizuri ktk defending lakini sikuwa vizuri ktk ku hold timu...mara nyingi huwa nilikuwa naficha hilo kosa kwa kupiga long passes kama za old ScholesLazima nianze hapo sijawahi toka uwanjani na jezi safi ,nacheza sita ya kizamani jezi chafu kama nimetoka kwenye matope,ng'e ndio nyumbani kwake mara ya mwisho km nilizokimbia uwanjani ni kama kutoka Dar to Moro.
Sawa mkuu mi nafundisha viungo wakabaji na bekiMakocha tumewapata mko wawili
11 tumewapata mko watatu mkali ndo ataanza
Hahahaaaa...sawa!!!Mimi ni bonge la golikipa. Kwenye kudaka Ronaldo na Messi watasubiri sana
Team zangu
Bunju Veterans K Vant drinking club, Simba, Liverpool, Barcelona