Uzi wa ushahidi wa mambo ya kusikitisha katika uchaguzi mkuu wa 2020

Uzi wa ushahidi wa mambo ya kusikitisha katika uchaguzi mkuu wa 2020

Ushahidi mwepesi kwa tuhuma nzito!! Acheni propaganda za kuchafua nchi wakati mnajua kabisa masuala haya yamejaa URONGOOO na GHILIBA kubwa!

Hata Rais Trump analalamika ila Kwa ushahidi mweupe na jinsi Mahakama ilivyoukataa tusubiri tuone Rais Biden akipelekwa ICC!

Queen Esther
Kwahiyo hata la Mahera kujibu hoja za wapinzani (kwa niaba ya CCM) kuhusu madini nalo ni "URONGOO na GHILIBA kubwa"?
 
Matokeo yaliyotangazwa tume walikuwa nayo kabla ya upigaji wa kura
 
Yaani hawa wachungaji na masheikh wameyumbisha sana imani za watu hawamu hii.
 
Back
Top Bottom