Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Taifa stars kuchukua ubingwa kombe la dunia kwa mara ya tano mfurulizo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah[emoji16][emoji16][emoji2772][emoji2772]
 
Shirika la anga la nchini Tanzania lasema chombo chake kinatarajia kufika katika sayari ya pluto mnamo siku tatu zijazo ambapo ni jaribio lake la nne bada ya fufanikiwa kupeleka vyombo vyake katika anga la sayari ya jupiter na kingine kutua katika sayari ya mars
 
Hahha..nmechekaa sn..bt kweli..wazungu wanasemaa.mtu bilaa ndoto n kama mti usookuaa na miziz..utaangukaa..tu..hvo..pambana man..unaezaa usifikiee lengo hlo.bt ukalisogeleaa
 
Iyo tisa na kumi sahau milele hata kama gari litatengenezwa hapa
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
Dar es salaam yakumbwa na sunam watu wote wafaliki dunia baada ya kukithir kwa ushogo...
Tanzania yaiwekea vikwazo vipya marekani baada ya kuruhusu wakimbizi wengi kuhamia tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…