Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
πππππππππALIYEKUWA RAIS WA TZ AWAMU YA TANO AGOMA KULA GEREZANI IKIWA NI BAADA YA MIAKA 7 BILA KESI YAKE KUSIKILIZWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππALIYEKUWA RAIS WA TZ AWAMU YA TANO AGOMA KULA GEREZANI IKIWA NI BAADA YA MIAKA 7 BILA KESI YAKE KUSIKILIZWA
Dah... hisabati.. hisabati...ina maana sasa ana miaka 5?[emoji2960]Rais mstaafu wa awamu ya Tano asherehekea siku ya kuzaliwa kwake gerezani
Atimiza miaka 105
China yachukua nchi 25 za Africa kwa kutokulipa madeni
Rais wa China ajitangaza kuwa head of states katika nchi hizo na kumpa mamlaka zaidi kuliko [emoji636]
Mkuu hii picha nzuri sana
Dah... hisabati.. hisabati...ina maana sasa ana miaka 5?[emoji2960]
I can bet umewahi umewahi kuishi gerezani mkuuTumbo la mponza tako gerezan
The most powerful comment itakayosisimua vitukuu kama si vijana wetu in future years later, daaa π!!ALIYEKUWA RAIS WA TZ AWAMU YA TANO AGOMA KULA GEREZANI IKIWA NI BAADA YA MIAKA 7 BILA KESI YAKE KUSIKILIZWA
Hahaha umeuaTanzania yawa nchi ya kwanza kufanikiwa kupeleka mwanasayansi JUANI na kurudi duniani salama.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]"Korea kaskazini yazuia matumizi ya JF nchini kwao,kwa madai kuwa mtandao huo unajihusisha na njama za kuipindua serikali"
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]Mfalme wa Tanzania kufanya ziara Uingereza
WANGONI WAANZA MSAFARA WA KWANZA KURUDI KWAO AFRIKA KUSINI
Naweza vipi kumtag muhusika hapa?[emoji3]ALIYEKUWA RAIS WA TZ AWAMU YA TANO AGOMA KULA GEREZANI IKIWA NI BAADA YA MIAKA 7 BILA KESI YAKE KUSIKILIZWA
Hatimae ndoa za jinsia zimeruhusiwa kufungwa kiserikali na kidini nchini Tanzania.