Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Mnara wa kumbukumbu wa Rais wa 7 wa Tanzania kujengwa ili kumuenzi kwa kazi zake nzuri ya kuongoza Tanzania na kushuhudia maendeleo kuliko kipindi chochote kile. Rais huyo aliiongoza nchi kwa mafanikio 2035 hadi 2045 na wananchi walijaribu kuandamana aongezewe muda lakini yeye alikataa. Rais huyo ujue nani? Mimi mwenyewe.
 
Kanisa Katoliki lampitisha Jiwe kuwa mtakitifu
 
"Korea kaskazini yazuia matumizi ya JF nchini kwao,kwa madai kuwa mtandao huo unajihusisha na njama za kuipindua serikali"
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hatimae ndoa za jinsia zimeruhusiwa kufungwa kiserikali na kidini nchini Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…