Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

[emoji39]
4494b0fc20ca473f821fd7fff80b74e9.jpg
8a979e42b5384d00b60b9e95425edb2b.jpg
 
Buza kuna nini!?

Vidagaa?
Buza kuna wahuni tupu! Kuna siku nilikwenda kununua chipsi kuku, nikamwambia muuzaji nahitaji kuku mzima. Wakati naletewa nakutana na kuku ana paja moja nawauliza kulikoni, wakanijibu kuku alikuwa mlemavu!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Buza kuna wahuni tupu! Kuna siku nilikwenda kununua chipsi kuku, nikamwambia muuzaji nahitaji kuku mzima. Wakati naletewa nakutana na kuku ana paja moja nawauliza kulikoni, wakanijibu kuku alikuwa mlemavu!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kuku kiwete
 
Buza kuna wahuni tupu! Kuna siku nilikwenda kununua chipsi kuku, nikamwambia muuzaji nahitaji kuku mzima. Wakati naletewa nakutana na kuku ana paja moja nawauliza kulikoni, wakanijibu kuku alikuwa mlemavu!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
🤣🤣🤣 "ndioo kuku alikua mlemavu"
Kutoka ibara ya kumi inasema kuku akiwa mlemavu ni lazima atakuwa na paja moja,kibawa kimoja mgongo mmoja kwa ibara ya katiba"
Alisikika wakili msomi kibatali akimtetea mteja wake muuza chips wa Buza
 
Back
Top Bottom