Uzi wa vyakula tu

Ziko aina tofauti mkuu, ila lile ndo full sukari, nishalila sana. Ni peshine kama hayo mengine, mbegu ndo tofauti nadhani, si waelewa tena kuna yale makubwa ya ngozi ya Yellow, mara nyingi huwa uchungu vile, alafu pia na hayo ume post hapo, then hayo ya sukari. Ni aina tofauti tofauti tu
 
Habari za asubuhi wakuu.
Naomba kujuzwa wapi nawezapata/nunua "edible collagen sausage casings".
Asante, nawatakia asubuhi na majukumu mema.
Unataka tengeneza sausage...bongo kupata hzo mtihan...
 
Kwani mimi naelekeza watu wale dona lenye vumbi?Maelekezo yangu ni kwamba watu waandae mahindi yao nyumbani vizuri ikiwa ni pamoja na kuyaosha kwa maji safi halafu wakayasage wao wenyewe.Kitu kizuri ni gharama.
Dona sitak isikia ilitaka nipa bawasil
 
Nimekuelewa mkuu.Ni kama vile kulivyo na Nyati,Ng'ombe wa kufugwa,Pofu,Nyumbu na kadhalika.Ni species wanaokaribiana.
 
Dona sitak isikia ilitaka nipa bawasil
Wewe unakula dona bila ya kuzingatia kanuni za kula kama vile kula matunda,kunywa maji nusu saa kabla ya kula ili kurahisisha mmeng'enyo wa chakula pamoja na choo salama,kula matunda,mboga za majani,kubadilisha aina ya vyakula mara kwa mara na kadhalika halafu unalialia juu ya bawasiri?Wewe unafikiri kuwa dona ni Mungu?Tena dona lipo kama Cement usipozingatia kanuni za kula vyakula linaziba choo!
 
Ina maana naweka viungo vyote kama kawaida halafu ndo unaya soak kwa maziwa after 10 mn ndo unayaweka moto!?
hapana unafanya kama unayaosha kwa maziwa ila unayaacha humo kwa dakika kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…