Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Dah...si afadhali angemwagika mbebaji
Hivyo vinakung'utwa kishwa vinarudishwa, maisha yanaendelea. Hakitupwi kitu hapo.

Wamekupiga bani, sijui umewazingua kitu gani.

Pole Kiongozi.

Endelea kula kwa macho, sie tunaserereka tu
 
Msisahau pilipili
Supu ya Samaki, hapo penyewe.

1630728743778.png
 
Kama ni kweli unatafuna hayo madude live huenda wewe ukawa ndiye mtu pekee duniani anaekula vyakula sahihi na bora sana.

Kitu ambacho ni chakula sahihi na bora sana ni kile ambacho siyo tu kwamba ni chakula lakini pia ni dawa kama yalivyo hayo madude.Haya madude ni chakula na hapohapo ni dawa pia.
Karanga, swaumu, tangawizi na maziwa
 
Back
Top Bottom