Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

MKrex.jpg
 
Tobaa! Siwezi kula mimi, mbupu kabisa hizi🤔😂
Si Mpaka ujue hujui😂😂😂.
Pale temeke Rays Bar enzi hizo kuna jamaa alikua anachoma hizo tu pale nje .mbuzi nguruwe ,ngombe pumbu tu
E bana siku huyo nshakula vyombo nikakuta zinaungua pale.
Zilivyokua zimenona sikuuliza ni nini zaidi ya kumwambia kata hii na hii na hii na hapo natafuna zile live zinatoka kwenye Grill.
Kuna siku nafkiri ni Taxi dreva anapark pale ndio alisema zile pumbu anachoma jamaa
 
Back
Top Bottom