Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mpunga
IMG_20210903_190343.jpg
 
Wewe unakula dona bila ya kuzingatia kanuni za kula kama vile kula matunda,kunywa maji nusu saa kabla ya kula ili kurahisisha mmeng'enyo wa chakula pamoja na choo salama,kula matunda,mboga za majani,kubadilisha aina ya vyakula mara kwa mara na kadhalika halafu unalialia juu ya bawasiri?Wewe unafikiri kuwa dona ni Mungu?Tena dona lipo kama Cement usipozingatia kanuni za kula vyakula linaziba choo!
Kweli, hiyo shida ishawahi nikumba, sio mchezo ugali, unatengeza makombora magumu aisee, ukiwa msalani lazma chozi litoke, au upige nduru wallahi 😁😁😁😁😁hatari sana! 😂
 
Back
Top Bottom