I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
That salmon though 😏🙄🤤
Dah zege[emoji39]
Hizo za zambarau ni mboga gani?
Tatizo ni tekelonojia mkuu. Ni ngumu kwa tulio bush huku au hata town kuweza kujua portions za vyakula na calories zake e.t.cBinadamu yoyote yule anaekula chakula bila ya kuangalia na kuzingatia chakula hicho kinampatia kitu gani mwilini mwake na kwa kiwango gani kwa maana ya Vitamins,madini,proteins,fibres,wanga,maji pamoja na fats ni binadamu mfu.
Red cabbageHizo za zambarau ni mboga gani?
Oh okeeRed cabbage
Mimi siyo dokta ila ni mdau ninaependa kufuatilia masuala.Tatizo ni tekelonojia mkuu. Ni ngumu kwa tulio bush huku au hata town kuweza kujua portions za vyakula na calories zake e.t.c
Inabidi nyie madokta mtuletee elimu ya jinsi ya kuweza kupima portions. Maana sisi huwa tunajaza sahani mlima kama stockpile
Portions ni muhimu pia chief. Unapokula in excess to what is required nayo ni harmful.Mimi siyo dokta ila ni mdau ninaependa kufuatilia masuala.
Haina umuhimu sana wa kujua portions.Cha muhimu kabisa ni kujua yale makundi saba ya mlo kamili na kuhakikisha kuwa unakula vyakula vya makundi hayo mara kwa mara bila kukaa muda mrefu bila kula kundi la chakula fulani.
beg pardon. Salmon kwa kiswahili anaitwaje?That salmon though [emoji57][emoji849][emoji1786]
Wewe tena! Naelewa balaa lako 😄Dah zege[emoji39]
Jmosi zitanikoma.
[emoji38]Wewe tena! Naelewa balaa lako [emoji1]
Hata najua basi 🥴🥴beg pardon. Salmon kwa kiswahili anaitwaje?
Wali Kisamvu, nautamani