Dada angu mbona mim nikipika wali hauwi mtamu...natumia rice cooking machine...ila akijaga mtoto wa kike hapa wali huwa mtamu sana..sasa sjui nakwama wap .au napunja sana maj nin...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona na change wameleta.hicho kishilingi ndio jero eeh siku hizi👐
Mkuu umetisha Sana, hizi menu unapiga mgahawa gani? Tupe location...
Nakaziawtf is problem with you?
hizo mada zako peleka jukwaa la afya we fala hapa ni misosi tu.
Mkuu umetisha Sana, hizi menu unapiga mgahawa gani? Tupe location...