Uzi wa vyakula tu

Dada angu mbona mim nikipika wali hauwi mtamu...natumia rice cooking machine...ila akijaga mtoto wa kike hapa wali huwa mtamu sana..sasa sjui nakwama wap .au napunja sana maj nin...

Sent using Jamii Forums mobile app

Balance ya maji na mafuta

Binafsi napikia Ile pressure cooker (multi cooker)
Ila sijawahi toa wali mbovu kabisa, gas pia napikia bila tabu

Shida ipo kwenye Ugali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…