Nimeshaoa mbona, na watoto wawili, haya mambo sio ya wanawake peke yao, hata sisi wanaume yatupasa tuyajue. Na ukiwa unayajua, hutopikiwa vibaya. Siku mke akizingua wala hupati shida unaingia mwenyewe jikoni na kutoa vitu munakash.Aiseee we jamaa kuoa sio rahisi.
Mm issue ya kupika nlianza wakat nipo chuo...sehem nliyokuwa nasoma hakukuwa na misosi nayopenda ikanibidi niwe najipikia...issue ngumu ni kuosha vyombo tu jamaniNimeshaoa mbona, na watoto wawili, haya mambo sio ya wanawake peke yao, hata sisi wanaume yatupasa tuyajue. Na ukiwa unayajua, hutopikiwa vibaya. Siku mke akizingua wala hupati shida unaingia mwenyewe jikoni na kutoa vitu munakash.
Kama kweli vileChips tu...njoo nipo huku sijui wanaita masai camp nadhani karibia na ile njia ya kwenda kiwanda cha banana
Unabisha...ngoja nkutumie pichaKama kweli vile
Yenye sura yako ndo nitaamini, tena upige hapo getini maasai campUnabisha...ngoja nkutumie picha
Naelekea mjini...ngoja nkifika sehem nkupigie pichaYenye sura yako ndo nitaamini, tena upige hapo getini maasai camp
HayaaaaNaelekea mjini...ngoja nkifika sehem nkupigie picha
Mbona ugali bado?
Kwahiyo leo unakula unga na hizo mboga?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Labda ndio pishi lao hili wametuwekea hapa[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
My love[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji8]My love
[emoji7] [emoji7][emoji8]
It's dinner time[emoji6][emoji7] [emoji7]
N ur havin dinner wit someoneIt's dinner time[emoji6]