Uzi wa vyakula tu

Kama kwa wavimba macho ninayoijua ni ile wanayochanganya na Maji wanaweka kwenye chupa kisha wanakunywa kidogo kidogo, Maji yakiisha yanajazwa tena.

Ila hii ya Supu kwangu ni mpya na ni mara yangu ya kwanza kuona
Mahindi mabichi zile ndevu zake ndio zinatengeneza hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…