Uzi wa vyakula tu

Nipende kutoa shukurani za dhati kwa dada Eliza na niseme tu samahani sana kwa kuiba picha ila huu uzi una manufaa nimeupendaView attachment 2240613
Asante kwa kunichekesha maana siku yangu ilikuwa dull.... 🤣🤣🤣🤣

Ila uwe unazingatia ushauri wa Saint Anne ili usije ukajikuta unaulizwa maswali lukuki siku nyingine.😁😁
 
Asante kwa kunichekesha maana siku yangu ilikuwa dull.... 🤣🤣🤣🤣

Ila uwe unazingatia ushauri wa Saint Anne ili usije ukajikuta unaulizwa maswali lukuki siku nyingine.😁😁
Atakuja kuyavaa maswali😂😂😂😂
Mara ameweka picha unayoonekana miguu😂😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia tu usije kuwa hujaicrop vizuri,, Lizzy huwa anaachia vidole vya mikono sometimes.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hilo nimezingatia sana kuna moja nilishindwa kuitumia ile ya pilau sababu ya mikon na ile meza ya kioo sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…