Huku kwetu tunauitaga msetoView attachment 2327549
Ukichoka wali maharage
Mimi dagaa tu hapoUgali dagaa wa mwanza + bamia na nyanya chungu aise nitamu balaa nilijisikia vzr mnoView attachment 2330433
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hongera..Inavutia, nlijaribu kujipikilisha juzi ilitoka ina hewa hatari sijui nlikosea wapi.
Wazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
Beatuful [emoji7]Wazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
Mi tooHongera Kiongozi makaveli10 nitakuja kukuungisha siku moja nikipita mitaa yako
Ukaribie kaka.Beatuful [emoji7]
Shukrani kiongozi, nitafurahi saana.Hongera Kiongozi makaveli10 nitakuja kukuungisha siku moja nikipita mitaa yako
Hawa ndio kuku aliwaponda mmakonde naada ya kukutana na makukuJINGA ya dar(broilers)Nyumbani ni nyumbani tu singida.pure chicken View attachment 2330614
😋😋Hii si basmat!? Hebu nielekeze siku nami nimtolee kitu mama watoto astaajabu.View attachment 2327549
Ukichoka wali maharage
Hivi wilaya ya Kilombero waliikosea nini serikali? Kuanzia pale mto ruaha, ni vumbi tu unaanza mlima udzungwa na vumbi, sijui kidatu, msolwa, sanje, mang'ula, kiberege, ziginali kote huko ni vumbi kidooogo kabla hujafika ifakara kuna kilami katikati, baada ya hapo ni vumbi mpaka ifakara, kwenda huko malinyi, mbingu, mahenge koote huko vumbi tu..Njoo sehem moja wanaita mbingu ni moro ndani ndani yani ifakara alafu kwa mbele ila jiandae kunywa maziwa daily maana ni kuna vumbi halielezeki[emoji16][emoji81]. Uku mdudu[emoji241] kilo 6k hadi kuondoka nashindwa
Mkuu nitakaribia nikirejea dar.Wazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
[emoji23][emoji16] makuku ya dar ni jau huwa nakaaga miez silagi nimekuja home ni mwendo wa mbuzi dona lile lenyewe na kuku wa kienyejiHawa ndio kuku aliwaponda mmakonde naada ya kukutana na makukuJINGA ya dar(broilers)
Mmakonde alienda mjini, aliporudi kwao kwenye stori wakawa wanaongelea kuku, ndipo kwa sifa akawaambia wenzake
"kuku!!! Kuku N'jini huko, kuku unakula paka N'fupa, sio kuku huku anapigana na nyoka na nyoka anakufa, huyo kuku au zimwi" [emoji23]