Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,364
- 12,456
Miwili mbona michache madamKazi ya mikono yangu....Kila mtu achukue miwili miwili. [emoji506][emoji506][emoji506]View attachment 2487071View attachment 2487072
[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miwili mbona michache madamKazi ya mikono yangu....Kila mtu achukue miwili miwili. [emoji506][emoji506][emoji506]View attachment 2487071View attachment 2487072
Chukua ya pembeni hii mikubwa mikubwa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Miwili mbona michache madam
[emoji39]
Mimi naomba mitano[emoji851]Kazi ya mikono yangu....Kila mtu achukue miwili miwili. [emoji506][emoji506][emoji506]View attachment 2487071View attachment 2487072
Mimi naomba mitano[emoji851]Kazi ya mikono yangu....Kila mtu achukue miwili miwili. [emoji506][emoji506][emoji506]View attachment 2487071View attachment 2487072
Mitano chukua upande wa juu ile midogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Mimi naomba mitano[emoji851]
Mitano chukua upande wa juu ile midogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Napenda sana kupika mikate hasa hii ya scones
View attachment 2487270
Unaukanda mpaka ukiunyanyua unabebeka wote kwenye kikandio usinate, kama unakandia kidish mpaka kibaki kisafi kabisa kama kimeoshwa na mkono ubaki msafi hapo ndio unakuwa umelainika.Hivi utajuaje unga umelainika na unatakiwa kukanda kwa muda gani?
Nipe ingredients
Unaukanda mpaka ukiunyanyua unabebeka wote kwenye kikandio usinate, kama unakandia kidish mpaka kibaki kisafi kabisa kama kimeoshwa na mkono ubaki msafi hapo ndio unakuwa umelainika.
Usiweke maji mengi sana ukawa laini utasumbua na wala usiwe mgumu sana. Kwa kg 1 mm huwa naweka vikombe viwili vya maji/maziwa ( vikombe vya chai vingi kipimo kinafanana).
Ingredients mikate haina mbwembwe ni maji, mafuta, amira na chumvi tuu. Ila kunogesha kandia maziwa, weka na vanila kidogo unaweza weka yai pia.
Vanilla inaongeza radha na harufu nzuri.
Maziwa ya uvuguvugu yakiwq yamoto sana yanaunguza hamira, hamira kile kijiko kidogo cha chai kinatosha ila baking powder sijawahi kuweka kwenye mkate/ scones . Sijajua kama huwa inawekwa ngoja wajuzi pia watatuambia. Vanilla nusu kifuniko chake.Kwa unga nusu naweka hamira kiasi gani na baking powder?
Maziwa ya uvuguvugu? Au ya baridi tu?
Sawa asanteMaziwa ya uvuguvugu yakiwq yamoto sana yanaunguza hamira, hamira kile kijiko kidogo cha chai kinatosha ila baking powder sijawahi kuweka kwenye mkate/ scones . Sijajua kama huwa inawekwa ngoja wajuzi pia watatuambia. Vanilla nusu kifuniko chake.
[emoji39][emoji39]
Ngoja nimwite mtu wa jikoni ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu pia View attachment 2487732
Upo vizuri sana Madam [emoji91]Kazi ya mikono yangu....Kila mtu achukue miwili miwili. [emoji506][emoji506][emoji506]View attachment 2487071View attachment 2487072
Nitakuja unifundisheMitano chukua upande wa juu ile midogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Napenda sana kupika mikate hasa hii ya scones
View attachment 2487270
Akhsante kwa somoUnaukanda mpaka ukiunyanyua unabebeka wote kwenye kikandio usinate, kama unakandia kidish mpaka kibaki kisafi kabisa kama kimeoshwa na mkono ubaki msafi hapo ndio unakuwa umelainika.
Usiweke maji mengi sana ukawa laini utasumbua na wala usiwe mgumu sana. Kwa kg 1 mm huwa naweka vikombe viwili vya maji/maziwa ( vikombe vya chai vingi kipimo kinafanana).
Ingredients mikate haina mbwembwe ni maji, mafuta, amira na chumvi tuu. Ila kunogesha kandia maziwa, weka na vanila kidogo unaweza weka yai pia.
Vanilla inaongeza radha na harufu nzuri.
Aje kula?[emoji23]Ngoja nimwite mtu wa jikoni ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikupe tenda?Mitano chukua upande wa juu ile midogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Napenda sana kupika mikate hasa hii ya scones
View attachment 2487270