Uzi wa vyakula tu

View attachment 2489047
Nimefanya ulivyonielekeza yametoka vizuri sana nimekandia maziwa nimeweka na hiriki na tangawizi kesho nitapika mkate ila kukanda kazi inabidi kununua ile mashine ya kukandia
Maandazi uliweka baking powder?? Inasaidia yanachambuka na kuwa malaini sana. Iriki kweli inatia radha nzuri. Kesho na mimi nitapika maandazi nitaleta mrejesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…