Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Nayapenda ukichanganya na nyama ya kusaga tamu sana😋😋

Note: Nyama usage mwenyewe home, sio ya kununua ishasagwa.
Hiyo ilinishinda sijui hua wanachanganya vitu gani ladha inakua mbaya
Huwa wanasaga yale manyama mabaya mabaya. Dawa yao ukifika chagua nyama mwenyewe ndo wakusagie.

Ikiwa na mafuta kidogo au ukipata nundu kabisa utafurahi zaidi.
 
Back
Top Bottom