Uzi wa vyakula tu

Aahahahaa ile sio shombo, ni aroma yake asili....

Mie nimekuzwa nayo haya matunda, nayapenda tangu mdogo.

Vile yana sukari, napatana nayo.
Vitu vichungu na mie mbalimbali, unakula unashiba, ila usizidishe...😅

Sawa kasie nitajaribu tena kuyaonja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…