babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Safii hapo kajiugali tu nasema uongo mke😁?au niende tu kwamamantilie😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safii hapo kajiugali tu nasema uongo mke😁?au niende tu kwamamantilie😅😅😅
KWa usafi huu...nikikuoa tutaenda sana maana mm napenda kupika huku nazingatia usafiii sanaaa
Lini???Mtualikage basi uchoyo hadi kwenye vyakula jamani😜
Mamantilie kapumzika wiki hii 🥴Safii hapo kajiugali tu nasema uongo mke😁?au niende tu kwamamantilie😅😅😅
👏🏾👏🏾KWa usafi huu...nikikuoa tutaenda sana maana mm napenda kupika huku nazingatia usafiii sanaaa
Tatzo langu ni kulalia shuka moja mwezi mzima 😅
Ni hi kitu ishanishinda jamani ina shombo hivii mnaitoaje?
Aahahahaa ile sio shombo, ni aroma yake asili....
Mie nimekuzwa nayo haya matunda, nayapenda tangu mdogo.
Vile yana sukari, napatana nayo.
Vitu vichungu na mie mbalimbali, unakula unashiba, ila usizidishe...😅
Sawa kasie nitajaribu tena kuyaonja
JmosiLini???
Basi jiandae ila Jumamosi ni siku ya makande.🙂Jmosi
Tena makande matamu kweli u akula mpaka kuvembewaBasi jiandae ila Jumamosi ni siku ya makande.🙂