Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

f0012244f21d15cd1462cf0d7e550d70.jpg
 
But cheese ni ingredient mojawapo huwezi kuiepuka kwenye pizza kama unaitumia. Mimi siweki sababu siwezi kuila. Hii hapa without cheeseView attachment 2552202

Nzuri mi napenda cheesee ina ladha nzurii
Trudie umeona mkate nilotengeneza?nimejifunza insta Ila cake nimeshindwa sijui nakosea wapiii 😂😂😂 inakuwa ugali
 
Nzuri mi napenda cheesee ina ladha nzurii
Trudie umeona mkate nilotengeneza?nimejifunza insta Ila cake nimeshindwa sijui nakosea wapiii 😂😂😂 inakuwa ugali
Labda unakosea vipimo au kwenye moto, unatumia oven au mmkaa kupika, pika mara kwa mara utajua unakosea wapi.
 
Back
Top Bottom