Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwasasa bachelor[emoji24]
Mwaga tararibu wengine hatuko instaSkonzi rahisi mno follow akaunt zinazobak mikate kuna dada anajiita bakingwithcandy.ng mi Ndio nimejifunzia kwake
Nitapita.Skonzi rahisi mno follow akaunt zinazobak mikate kuna dada anajiita bakingwithcandy.ng mi Ndio nimejifunzia kwake
Mi namla umu aunt yangu alikuwa hataki nisogelee jiko kabisa anaogopa nitaungua,kupika nimejifunza mwenyewe ukubwan ,angeniacha ningejua kila kitu hasa Haya mamboya nganoKitambo sana sijapika chapati
Kwa kweli chapati zinachukua muda..Utaweza wewe chauvivu
Mi nazipika kwa sababu watoto wanywe chai kabla ya kwenda shule na wanazipendaNitapita.
Nadhani kwa vile sizipendi ndio maana sipiki
Ila ntajaribu[emoji120]
Sana aisee kukanda kusukuma yeeeKwa kweli chapati zinachukua muda..
Ndio maana zinatia uvivu kupika.
DuhMi namla umu aunt yangu alikuwa hataki nisogelee jiko kabisa anaogopa nitaungua,kupika nimejifunza mwenyewe ukubwan ,angeniacha ningejua kila kitu hasa Haya mamboya ngano
Watoto huwa wanapenda sanaMi nazipika kwa sababu watoto wanywe chai kabla ya kwenda shule na wanazipenda
Haya basi
Mimi mzee alikuwa anapenda sanaSana aisee kukanda kusukuma yeee
Sawa tujifunze tu ni vizuri vitu kujipikia nyumbaniWatoto huwa wanapenda sana
Mimi tatizo hata hao watoto kwa sasa hakuna
Ila nataka nijiandae tu,miaka michache mbele nakuwa na familia nisipate shida.
Pia najifunza vitu vingi, tofauti na zamani nilikuwa napenda kujifunza vitu ninavyopenda kula tu
Sasahivi nimepunguza ubinafsi,kitu naweza nisikipende mm ila mwenzangu anakipenda.
Duh
Alikuwa anakuharibu huyo.
Mm hapo nilitumia:Nzurii
Hebu elekeza hapa nami nijaribu kupika huu ni ugonjwa ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
KabisaSawa tujifunze tu ni vizuri vitu kujipikia nyumbani