Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hongera sana…Sasa aya ni maandalizi kwaajiri ya binti zangu maana wanawake wa siku hizi baadhi yao kupika ni dolo sana, sasa ata ikitokea nimeangukia garasa watoto wangu nitaweza kuwaandaa mwenyewe wasije niaibisha