ndowenyewe huo ukiufyonza rahaNa ule uteute au[emoji23][emoji23]
mchawi pilipili [emoji39][emoji39][emoji39]Wewe kula wali maharage achana na vya hotel bana eboo
Hii ndio pelesu pelesu lunchEarly lunchView attachment 2550242
Piza la dagaa no cheese hii utapata mbeya tu😅😅😅,ungeweka mtindi ingenogaBut cheese ni ingredient mojawapo huwezi kuiepuka kwenye pizza kama unaitumia. Mimi siweki sababu siwezi kuila. Hii hapa without cheeseView attachment 2552202
Mke nipo hapa nadokoa, portion yetu ile ile km yesu msalabani 'eloi eloi' baba uwasamehe😁😅😅😅
Na maji ya kutosha chini utelezi mtu ukigusa imoooo😁Napenda sana pia zinanisaidia nisipate choo kigumu🫣
Mi lengo langu ni kuzuia constipationNa maji ya kutosha chini utelezi mtu ukigusa imoooo😁
Sawa hiyo ni extra tu nimekupa😉Mi lengo langu ni kuzuia constipation
SawaSawa hiyo ni extra tu nimekupa😉
Usimdanganye, maziwa ya kutengeneza mtindi lazima yachemshwe kuua wadudukama ushayachemsha hayo ni kumwaga tu hayatengenezeki mtindi
Huwezi aminiWewe kula wali maharage achana na vya hotel bana eboo
Mi nikifululiza tumbo linajaa gesi ni matamu kweli ila sasaHuwezi amini
Maharagwe
Dengu
Njugu
Hizi hata zipikwe 3/7/52 nazikula