EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 3,781
- 12,091
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nayapendaga mno😋😋
Huyo ni samaki au perege?
Wali na mayai ya kuchemsha? Chakula ya wapi hii? Siwezi kula hiki.
Chimbo liko wapi hili
Kuna vyakula sijawahi kula mkuu ila hii naona siwezi. Yai la kuchemsha sipendi harufu yakeView attachment 2560745
Wewe huwezi sisi tunaweza
Naomba [emoji39][emoji39][emoji39]COOKIES/ BISCUITS
Ingredients.
1. Unga wa ngano vikombe 2
2. Sukari gram 200 / vijiko 13 vikubwa
3. Prestige/ siagi gram 200
4. Yai 1
5. Cornflower vijiko 2 vikubwa
6. Baking powder kijiko 1 kikubwa
7. Chumvi 1/4 kijiko.
8. Vanila 10ml
Uandaaji.
1.Weka sukari na pretige changanya mpaka ichanganyike vizuri iwe laini. Unaweza tumia machine au hata mkono. Ongeza yai na Vanilla uchanganye vizuri.
2.Changanya unga, baking powder na chumvi mpaka vichanganyike vizuri.
3. Chukua mchanganyiko wa unga, baking powder na chumvi uweke kwenye mchanganyiko wa siagi na sukari.Kanda mpaka utakapokuwa tayari usiwe laini sana wala mgumu sana. Unaweza ongeza maziwa kiasi sio lazima.
4. Unaweza gawa mkando katika madonge kuweka ladha unayoitaka kama ni chocolate ( tumia cocoa powder), coffee nk.
5. Sukuma mkando wako na kata biscuits zako katika maumbo mbalimbali unayotaka wewe. Unaweza tumia shapes au machine maalumu. Kama huna kata kwa mkono tuu kutoa shapes.
6. Oka biscuits kwa moto wa wastanni 190 -200 c kwa dakika 10 zitakuwa tayari. Zitoe ziache zipoe na tayari kwa matumiziView attachment 2524786
Patra31
Hapana ukonga recreation daslamSAUT -Mwanza hapa?
Hizi airfrier zina utofauti gani na oven?Pork na mzuzu kutoka kwenye air fryer.
View attachment 2560732
AiseeeView attachment 2560745
Wewe huwezi sisi tunaweza
We sie tunazipenda sahan za mfupa za udongo zipo Ila mi napenda hizi
Kibua mtoto.Huyo ni samaki au perege?