Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

20230323_132518.jpg
 
Dagaa wa karanga wanakuwaga watamu balaa.
Japo mimi sipendi Wala sili dagaa, ila ni watamu Sana.

Mboga nyingine tamu kuweka karanga ni yale majani ya maboga, na mbogamboga nyingine za majani.
Mm napenda dagaa wenye limao jingi. Ukiweka karanga unaweka na limao pia ama unapika tu kawaida??

Sent using Jamii Forums mobile app
VYovyote tu hata hao niliwekea limao kidogo
 
Back
Top Bottom