Uzi wa vyakula tu

Ni vyakula boss wanguuu sema picha ya kupakua mtandaoni haivutii machoni tofauti na picha halisi

Alafu Kwann upakue Mtandaoni mkuu wakati kila siku unakula? [emoji23][emoji23]
Hata hizi tunazopost hapa, zikitokea tu hapa na kwenda kwingine zinakuwa za mtandaoni ujue
Kwamfano hii nilipost Fb sasa hivi ishakuwa ya FB kwakuwa nimeileta huku.. Ile ya pilau nikitoa hapa na kuipost tena si yangu tena chata inasoma JF na kugeuka ya mtandaoni

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…