Mahindi tu unamix na sembe kama Kawa.Mahindi Kande?
Exactly π―π―Dinner
Exactly [emoji817][emoji817]
Hahaha. Mwendo wa kujaza mi mboga tuIla iyo nguna umeifunika mnoo bila kuzoom nilihis sijui unakula vitu gan vile[emoji2]
Hahaha. Mwendo wa kujaza mi mboga tu
Nguna inateleza tu [emoji475][emoji475][emoji475]. Kwenye ulimi [emoji16]
Tena mi bado kijana mbichi magonjwa yatanipita tu hivi πππππUhakika mkuu apo kweny kuona mbali ni kugusa tu haina haja ya miwani
Haiya bas!πππ
Usually happens when I have a late lunch after skipping breakfast.
Kwanini???Unafanya kazi UN?
Where your lunch πΈ at???Haiya bas!
Patia "late lunch" simu tuongee na yeyeππ
Unaishi kama ikulu ndogoKwanini???
Hataa...kawaida tu.Unaishi kama ikulu ndogo
Shafika bi mkubwa portion yetu ileileπ