Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

[emoji4]

You can't imagine huwa sisikii njaa asubuhi na ndio maana mara nyingi huwa na-skip breakfast. Siku nikila ni kuanzia saa nne kwenda mbele.
Wewe hupendi kula asubuhi ila mimi sipendi kula usiku naona kama nakula hasara maana nakula then nalala afu asubuhi nikiamka nakua na njaa kinoma[emoji28]

I prefer heavy a breakfast and lunch
 
Pilau
 

Attachments

  • 82B8AD2A-7BE9-4063-ACBD-B018A959C5E0.jpeg
    82B8AD2A-7BE9-4063-ACBD-B018A959C5E0.jpeg
    1.1 MB · Views: 12
Wewe hupendi kula asubuhi ila mimi sipendi kula usiku naona kama nakula hasara maana nakula then nalala afu asubuhi nikiamka nakua na njaa kinoma[emoji28]

I prefer heavy a breakfast and lunch
Eti unakula hasara 🤣🤣🤣🤣🤣

Umenikumbusha siku moja tulikuwa tumesafiri mshkaji mmoja akakataa kulala kwenye hotel nzuri kwasababu ya bei. Wakati tunapiga story akatuambia kutoa hiyo hela sio shida, shida ni kwamba atakosa usingizi akeshe akiiwaza, so what's the point.

But if we are being honest, ni afya zaidi unavyofanya wewe.
 
Eti unakula hasara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umenikumbusha siku moja tulikuwa tumesafiri mshkaji mmoja akakataa kulala kwenye hotel nzuri kwasababu ya bei. Wakati tunapiga story akatuambia kutoa hiyo hela sio shida, shida ni kwamba atakosa usingizi akeshe akiiwaza, so what's the point.

But if we are being honest, ni afya zaidi unavyofanya wewe.
Tunafanana na huyo mwamba [emoji28][emoji28]

Usiku nakula ila a very small portion ...maana nikila sana usiku huwa nikiamka asubuhi nakuwa na njaa sana.... but nikila kidogo usiku...asubuhi naamka kawaida tu sasa sijui hii kitaalamu inaitwaje
 
Back
Top Bottom